DIAMOND Kaamua Kufunguka Yote Leo...Nimekuwekea Kauli Zote Alizosema Leo Ikiwemo ya Ommy Dimpoz Kutuma Watu Wamuombe Msamaha


Nimekuwekea hapa Maneno Aliyosema Diamond Leo Kwenye Kipindi cha XXL:


Ommy Dimpoz ameshatuma watu wengi sana kuomba msamaha, amenipigia hadi simu lakini sikupokea. Ila nimemsamehe- @diamondplatnumz #XXL


Wanajisifu wana sauti nzuri lakini makoo yanawakauka na 'show' hawapati, wakifanya nyimbo haziendi mbali- @diamondplatnumz #XXL

Kama mimi ni msanii wa ujanja ujanja mbona nafanya nyimbo zinakwenda kimataifa na matamasha kimataifa yanajaa?- @diamondplatnumz #XXL

Mimi ni mtu mstaarabu sana lakini watu wananiona kama nina kejeli, na kila wakitaka kushindana na mimi wanashindwa- @diamondplatnumz #XXL

Wimbo wa I Will Mary You niliyomshirikisha Ne-Yo haujavuja lakini ulitoka ukaanza kusambazwa Marekani na Ulaya- @diamondplatnumz #XXL

Mimi ni mtu mstaarabu sana lakini watu wananiona kama nina kejeli, na kila wakitaka kushindana na mimi wanashindwa- @diamondplatnumz #XXL

ConversionConversion EmoticonEmoticon

:)
:(
=(
^_^
:D
=D
=)D
|o|
@@,
;)
:-bd
:-d
:p
:ng