GODO JANJA AFUNGUKA KUWA ANAMZIMIA MWANAMKE MWENYE RANG HII!

Na Sosy
MSANII chipukizi wa Bongo Flava dogo janja amefunguka aina ya mwanamke anayemzimia katika maisha yake.

Dogo janja amesema hayo leo alipotembelea kituo cha televeshion cha Afrika Swahili Tv Sinza jijini Dar es Salaam.
Hata hivyo dogo janja anayetajwa kutamani maisha ya ndoa amekiri kuwa na mpango huo lakini akiwa karibu kutimiza azma hiyo ataweka wazi.

Janja ambaye anadai kuwa haimini katika kiki amesema kuwa anataraji kuachia ngoma mpya mwishoni mwa mwezi huu ambayo itakuwa surprise.
Previous
Next Post »