NISHA ALIZWA TENA,AACHWA SOLEMBA BAADA YA KUPACHIKWA MIMBA,AFUNGUKA LIVE


Msanii Nisha kwa mara nyingine tena amepata title ya u 'single parent'...
Ni baada ya kupewa mimba na kisha kuachana na baby dady wa kijacho hiko bila hata kusubiri mrembo huyo ajifungue...Ila Nisha kasema haina noma kama yule wa kwanza alimlea bila msaada wa baby dady, huyu ataanzaje kushindwa?Huu Hapa Ujumbe wa Nisha Kwa Aliyempa Mimba na Kusepa:
Previous
Next Post »